ILIPOISHIA
SEHEM 4 nilimuuliza shangaz kwanini machoyako yanatowa machoz
alishituka na (endelea sehem(5) kupangusa machoz kisha nilishuhudia
ajari ya bus na fuso iliyogharim maisha ya watu wakiwemo watoto ilinijia
picha nikajikuta natowa choz pole shangaz kaz yamungu piya madeleva
niwazembe sana baaziyao, nikarizika na jibu lake ingawa ktk macho
nilihis kaongopa nilimtupia swali dada tunyi dada, nini sababu ad nikawa
hospital docta kasema ni malalia adiukapoteza faham nikashangaa!
kwanini ajibu kwa halaka huku akiwasiliana na dada kwa macho!? maisha
yakaendelea shangaz aliondoka, baada ya wiki1 siku moja ya jmos nikiwa
matembezini na rafikiangu kibungo tukaamuwa kupumzika ktk mgahawa pale
mwenge, tukaagiza vinywaji joy samahani wapelekee walewakaka juis ya
azam yabox kubwa nasambusa4 baada ya kuhudumiwa,nafunguwa ilejuis mala
akaja jamaa akiwa na mdada wakakaa mezayajilaniyetu nikawatupia macho
maana waswahili tunakawaida yakuchunguzana, macho yakakutana waaooooo
lax? he!! docta josephat (itaendelea
No comments:
Post a Comment