Thursday, March 29, 2018

MSANII NA MASHABIKI TIZA JUX

http://safinamiutamu.blogspot.com/https://www.facebook.com/profile.php?id=100008060025755
Watu watano wamepoteza maisha katika ajali iliyotokea leo March 29, 2018 jioni katika maeneo ya Kasharazi ulipo Mlima wa K9 {K’nine} mkoani Kagera baada ya gari lililokuwa likisafirisha wakimbizi kutoka Kigoma kuelekea Burundi kugongana na gari lingine na kusababisha vifo vya watu hao.
Kamanda wa Polisi Kagera Augustine Ollom amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na amesema yapo magari mawili yaliyokuwa yakiwasafirisha wakimbizi kurudi nchini kwao, yalipata ajali baada ya Bus moja kugonga lingine na kusababisha vifo vya watu watano na majeruhi.
Ameyataja magari hayo kuwa lipo gari lenye namba za usajili T331 DFV aina ya YUTONG liligonga Bus T765 DLD aina ya TATA ambapo lilipoteza uelekeo na kumgonga mwendesha Baiskeli na akafariki palepale, kati ya hao wengine waliopoteza maisha ambao majina yao bado hayajatambulika wapo wakiume wawili na wa kike wawili.

HABARI. WADAU napenda kuwakumbusha na kuwasisitizia kuwa hili group ni group la michezo na burudani. hivyo mambo ya siasa na dini si mahala pake hapa. utumaji wa picha na video za utupu, lugha za matusi pia haziruhusiwi humu. Ushauri wetu ni kwamba tuzingatie sheria za nchi, tuzingatie maadili ya mtanzania & tuzingatie sheria za group. ukikiuka haya hatua kali zitachukuliwa juu yako. asanten mpaka wakati huu wenzetu kadhaa tumesha watoa kwa kutokuzingatia nidhamu humu kundini. pia tunataka kuboresha kundi kwa kuandaa tuzo za mwezi kwa categori mbalimbali tuendelee kuheshimiana na kuthaminiana tukifurahia michezo. asante sanaPicha ya Marko Mathiashttp://safinamiutamu.blogspot.com/

changamsha ubongo na hii kitu toka kwa Ringo

changamsha ubongo na hii kitu toka kwa Ringo

http://safinamiutamu.blogspot.com/

PESA YAIMBA WIMBO