Habari
wadau, kila kukicha wasanii wa bongo fleva wanaongezeka lakini hakuna
cha maana wanachoimba zaidi ya kukopiana nyimbo, hebu tujikumbushe
nyimbo za Bongo Fleva zilizotamba kipindi hiko. Mimi za kwangu ni hizi,
Kamanda ya Daz Nundaz, Mtazamo ya Afande,Lover boy- Chege, Salome ya
Dully. Karibuni tuendelee wadau

No comments:
Post a Comment