- Saa 3 zilizopita
Monday, December 26, 2016
Nilikuwa nimetoka katika mizunguko yangu jijini, mishe za hapa na pale zinazotuweka hapa mjini Dar es salaam. Nikielekea maskani mji mpya Kigamboni, kufikia mitaa fulani nikamuona akifukua fukua katika jalala, ni kawaida kuwaona watoto wa mitaani wakiwa katika hali kama hiyo na mimi huwa si mtu wa kuwatilia maananani kabisa. Lakini kwa huyu nikajikuta nikisimamisha gari na kumuangalia. Alitumia kama nusu saa hivi kufukua jalala huku na huko kama akitafuta kitu bila mafanikio.
Nikashuka ktk gari na kumfuata alipo, "Mwanangu ni nini unatafuta ktk jalala?" niliamua kumuuliza. "Baba ni siku ya pili hii sijatia kitu mdomoni njaa inaniuma sana wenzangu wamekua wakinishauri twende tukaibe lakini mimi sina ujasiri huo, hivyo siku ya pili nazunguka huku na huku kutafuta chakula lakini nakosa hakuna anaejali maisha gani haya?"
Moyo wangu ukawa kama umechomwa na kitu chenye ncha kali kusikia yale aliyoniambia!! Hapo hapo ikabidi nimchukue nikaenda kumnunulia chakula mgahawa wa jirani! Baada ya kula na kushiba akanishukuru na kuniambia " Baba Mwenyezi Mungu akubariki sana, naishi maisha ya tabu mno tokea mama yangu afariki. Hapa nilipo nina cancer" akafunua tshirt yake kunionesha, eneo lake la tumbo karibu na kitovu lilikuwa limeathiriwa vibaya na cancer. Akaendelea....
Mama yangu baada ya kufariki baba yangu aliamua kuoa mke mwingine, kusema kweli yule mama aliyeolewa na baba ni shetani!! Si mtu wa kawaida kabisa. Niliishi kwa mateso makubwa na yule mama wa kambo, kila nilipokuwa nikimueleza baba kuwa mama mdogo alikuwa akinitesa alikuwa haniamini hata kidogo, nilivumilia hivyo hivyo kwa tabu nyingi sana.
Kuna siku nikiwa jikon naosha vyombo mama yangu wa kambo alitembelewa na rafiki yake wa kiume. Katika maongezi yao nilisikia wakishauriana kuhusu kumuua baba na kujimilikisha mali zake zote, niliingiwa na wasiwasi mkubwa sana!! Nilisubiri baba arudi nimweleze hilo jambo. Aliporudi nilimueleza kila kitu nilichosikia. Maajabu baba alinipiga nusura ya kuniua akinituhumu kuwa simpendi mama yangu wa kambo. Kufikia hapa mtoto aliinama na kulia kwa uchungu. Nikachukua nafasi ya kumbembeleza.
"Laiti baba angalitia maanani maneno yangu angalikuwa hai mpaka leo"
Alinichapa baba, alinipiga kipigo cha mwizi mpaka nikavunjika kiganja cha mkono. Ni mpaka nilivokimbia na kutorokea mtaani. Na habari ya kwanza niliyoipata ni kuwa baba yangu amefariki.! Nikajua tu ni yule shetani ameshatenda ushetani wake. Nililia sana na ninalia mpaka kesho.
Yule mama aliuza kila kitu, ni kwamba baba alimrithisha kila kitu yule mama katika hati zake mbalimbali. Baba alikuwa na nyumba nne moja Mbezi Beach, kawe, Kigamboni na Msasani. Pia alikuwa anayo Insurance company iliyokuwa ikiitwa Junior Insurance Company Ltd Pale Posta, alikuwa na Super Market pale Nakumat, Pugu mall na kule shoppers plaza. Vyote vilienda kwa yule shetani.
Nikiwa sina sehemu ya kuishi tena, ndugu zangu wote wako Kigoma huko hakuna ambaye nina mawasiliano nae hata mmoja. Baba natamani Mungu anichukue hata leo. Ninaimani nitaenda kuiona mbingu, sitauona Moto wa milele kwa kuwa sijawahi tenda jambo la kumuudhi Mungu! Mimi siibi, mimi situkani wala sijihusishi na makundi ya wenzangu ya Panya Road.
Dah niliishiwa pozi. Nikajiambia kuwa kweli dunia haiko sawa. Ninaendesha gari zuri, ninaishi pazuri, ninayo kazi nzuri inayonipa mshahara mzuri, nakula chakula kizuri mpaka nakiacha, kumbe upande wa pili kuna watu wasio na hatia, malaika wa Mungu wakiteseka hivi? Nikitokwa na machozi mtu mzima.
Hapo hapo nikapiga magoti na kumshukuru mwenyezi Mungu, kwa kila jema analolifanya ktk maisha yangu, nikamuomba Mungu anisaidie niache tabia ya kulalamika na kutoridhika, watu pale mgahawan walinishangaa ila sikujali, nililia na Mungu wangu!!
Nilimchukua yule mtoto na kwenda nae Taasisi ya Cancer Ocean road kwa matibabu zaidi. Nipo nae mpaka leo hii akiendelea na matibabu hapa hospitalini, hali yake sio nzuri kwa kweli, he is serious sick!. Nitakuwa nae siku zote.
Kama Junior atakufa nitakufa pamoja nae
Nawatakieni kheri.
Raia 20 wauawa kikatili mashariki mwa DR Congo
Raia 20 wauawa kikatili mashariki mwa DR Congo
Takriban raia 20
wameuawa katika mauaji ya kikatili katika jimbo la Kivu ya Kaskazini
nchini Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, kulinga na taarifa zilizotolewa
na maafisa Jumapili.
Vifo hivi ni vya hivi karibuni katika wimbi la miaka miwili la ghasia katika jimbo hilo. Mauji hayo yametokea katika mji wa Eringeti, uliopo kilomita 55 kaskazini mwa mji mkuu wa jimbo hilo wa Beni, mji ambao umekuwa ukikumbwa na misururu ya mashambulio ambayo tayari yamesababisha vifo vya raia 700, kulingana na afisa katika mkoa huo Amisi Kalonda, ambaye amewalaumu waasi kutoka Uganda kwa mashambulio ya hivi karibuni.http://safinamiutamu.blogspot.com/
- DR Congo imo kwenye 'hatari kubwa'
- Katumbi asema atarejea DR Congo kuwania urais
- Kundi la upinzani lamtaka Kabila kujiuzulu
- Kabila kuwa madarakani hadi mwaka ujao
"ADF wamevamia tena wau wa Eringeti na maeneo yanayozingira mji huo asubuhi ," aliliambia shirika la habari la AFP, kutoka mji mkuu wa Kivu kusini wa Goma.
"Jana, waliwauwa raia 10. Miili mingine ya watu kumi na miwili ilipatikana Jumapili katika vijiji vinavyozingira mji ." alisema Bwana Kalonda akiongeza kuwa waathiriwa waliuliwa kwa visu au panga''
Kwa miaka miwili iliyopita eneo linalozingira mji wa Beni limekuwa likikimbwa na mauaji ya kikatili
yaliyowauwa mamia ya raia, wengi wao wakichinjwa na kunyongwa hadi kufa.
Msemaji wa jeshi la Kongo Mak Hazukay amethibitisha shambulio, akisema wanajeshi ''waliwauwa waasi wa ADF " lakini akaongeza kuwa " idadi ya raia waliokufa ni kubwa".
Teddy Kataliki, mkuu wa shirika maarufu la kiraia katika kanda hiyo, pia alisema kuwa waliouawa ni 22.
Lakini kasisi wa kikatoliki katika eneo hilo amesema kuwa waliouawa ni watu 27 na idadi inaweza kuongezeka zaidi " kama miili ya waliouawa itabainika katika msitu" unaopakana na mji huo.
Wakati mauaji ya kikatili ya Beni yalipofanyika Oktoba 2014, ADF walijibu haraka wakishutumu makundi mauaji hayo kutekelezwa na maafisa wa Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na MONUSCO---Kikosi cha kulinda amani nchini DRC.
Kwa zaidi ya miaka miwili sasa, mamlaka za kongo na Umoja wa Mataifa zimeshindwa kuwalinda raia na ADF limesalia kuwa ndilo kundi linalotawala, huku serikali ikisisitiza kuhusu uhusiano wa mauaji hayo na vita vya kidini vya Jihad.
Mauaji haya yanatokea huku mahusiano baina ya jamii ya kimataifa na DRC ukiwa mbaya kutokana na hatua ya rais Josep Kabila kukataa kuachia mamlaka, licha ya muhula wake kumalizika taraehe 20 Disemba.
Mshirikishe mwenzako Unavyoweza kumshirikisha mwenzako
Friday, December 16, 2016
ajiua kisa hiiiiiki
kaa mkao wa kuitatazama kazi kali kutoka kwa kampuni ya safina films itakayotoka hivi karibuni chini ya director mkari kutoka tanzania na mwenye ubora wa hari ya juu huyu namzungumzia yengayenga ramadhani utoka mwanza tz
http://safinamiutamu.blogspot.com/
http://safinamiutamu.blogspot.com/
wanaiitaji enterview karibu living water tv ubungo
kwa wale wasaniii wanahitajikufanyiwa promo za nyimbo zao ili ziwafikie wadau wake basi karibu living water tv kwa enterview kali za gospel na bongo freva waweza karibia apo ili tuweze kukutangaza zaidi kwa mawasiliano zaidi piga simu namba 0714231828 au fika ofisi kwetu ubungo jengo la mic hotel karibu nastend ya mabasi ubungo
http://safinamiutamu.blogspot.com/
http://safinamiutamu.blogspot.com/
SIMULIZI: MY DIARY
SEHEMU YA 2
SEHEMU YA 2
Nilikuwa hata sijajitambulisha kwani nilitaka mjue asili ya majina yangu maana kiukweli nilikuwa na majina mengi kabla na baada ya kuwa superstar. Ila nitatumia jina langu la asili nililopewa na wazazi wangu. Nilipozaliwa tu wazazi wangu waliniita Leah. Ni mtoto wa kimbulu niliyechanganya damu na mama wa kiharabu.Nina historia ndefu sana ambayo kiukweli inahuzunisha sana. Lakini kwa kuwa dunia mapito nitaeleza kwa kifupi hasa upande wa mahusianao na mapenzi. Mimi ni mtoto wa pekee wa kike katika familia ya mzee Bura mzee ambaye alikuwa ni maarufu na tajiri mkubwa pale jijini Arusha.
Ingawa nina mapungufu yangu ya kimaisha lakini kiukweli nimejaliwa uzuri ambao kwa namna moja au nyingine ndo chanzo cha kuharibikiwa na kisha kufanikiwa katika maisha yangu.Ni mweupe kiasi, mwenye umbo la kibantu na nyuma nimefungashia kama mlima kitonga. Nina sura ya mduara kama watoto wa kiharabu ambapo kwa haraka haraka ukikutana na mimi huwezi amini kuwa ni mtanzania tena wa Arusha.
Mungu kanijalia umbo,sura, mwendo, macho na kila kiungo unachojua wewe kinaweza mvutia mwanaume.Ni mnene lakini si ule wa kuboa ni ule wa mpangilio na kwa kweli sina matiti makubwa. Nina macho ya mlegezo ambapo kiukweli nikikuangalia mara mbili ni lazima tu utanitamani. Kasoro yangu kubwa au kilema mungu alichonipa ni kile kilema pendwa yaani kuwa na vijishimo mashavuni mwangu ambapo kila nikicheka vinaonekana.
Leah jina langu la utotoni kwa sasa lishapotea kutokana na matukio yangu. Club za Arusha na sehemu zingine za starehe jijini pale wananijua kama BAMBUCHA. Na jina hili nilipewa siku niliyoshinda taji la miss nyonga. Moshi nilipewa jina la Heinken wowow au Heinken Mutungi baada ya kushinda shindano la bonge kipotabo .Mpaka sasa sijui idadi ya wanaume ambao nishawahi kulala nao ila hawapungui elfu 1. Ndio usishangae kwani kwenye dftari langu la kumbukumbu mwaka jana idadi ya wanaume nilotembea nao walikuwa 892. Sasa ndani ya huu mwaka watakuwa wamezidi elfu lazima. Sipendi na inaniuma sana ila nataka watu wajifunze kutokana na historia hii
Naamini mtanifuatili hadi mwisho ili iwe fundisho kwa wasichana wazuri kama mimi na kwa wanaume wote wanaodanganyika kiurahisi na wasichana warembo. Sitoeleza kila kitu kuhusu maisha yangu lakini nitaeleza vile ninavyovikumbuka na pia ni funzo na fundisho kwa wengine.Nimezaliwa miaka 27 iliyopita huko mkoani Arusha, familia yetu ni moja au miongoni mwa familia tajiri. Kwetu tupo tu wawili mmoja wa kiume na mwingine ndo mimi. Kwa hiyo tupo mimi na kaka yangu tu ambaye na yeye masikini ya mungu maisha yake yaliingia doa hata sijui ni kwa nini familia yetu imekuwa na majanga hivi.
Kwa ufupi japo sitaki kueleza historia yake ila kwa sasa ni shoga na teja. Baba yetu alitupenda sana na alihakikisha tunapata elimu nzuri na bora. Mimi na kaka yangu wote tulisoma International school ya hapo Moshi. Baadaye kaka yangu alianza kuvuta bangi kitu ambacho kilimtia hofu baba yangu na kuamua kumpeleka kusoma nje ya nchi. Alikosea sana kwani alimpeleka south Afrika katika chuo kimoja maarufu cha mambo ya utalii. Huko aliendelaa na tabia yake ya miadarati na mbaya zaidi alianza kuumia madwa ya kulevya hivyo akawa teja kabisa. Akaenda mbali kabisa na kuwa shoga kabisa, sitaki kukueleza zaidi ya hapo kwani lengo la simulizi hii ni kukupa historia ya maisha yangu. Kama nilivyosema mwanzo familia yetu ni tajiri sana kwani baba yangu alikuwa ni mfanyabiashara maarufu wa madini tena yale ya Tanzanite.
Historia ya baba yangu nayo ni ngumu san kwani inasemekana chanzo cha yeye kupata utajiri ni ajali ya wazungu iliyotokea huko Mererani hivyo yeye na wenzake waliiba madini mengi sana. Lakini kabla ya hapo alikuwa ni chokoraa asiye na mbele wala nyuma. Kama nilivyosema sitaki kukupa historia ya watu wengine lakini inanibidi ili uweze kujua aina ya familia ninayotoea. Baba yangu alituambia kuwa yeye alikuwa ni mtoto yatima ambaye baba na mama yake walikufa kwenye ajali mbaya iliyotokea huko Kateshi/mbulu.
Hicho ndicho kikawa chanzo cha yeye kuwa chokoraa. Baadaye alikuja Arusha kutafuta maisha ambapo walipelekwa Mererani kam manyoka. Huko aliteseka sana mpaka alipokuwa kijana anayejitambua. Baadaye ndo akapata bahati ya mtende ya kuiba madini. Tangia hapo akaanza biashara ya kuuza madini na mungu alimjalia sana na baadaye alikuwa anaenda Dubai kuchukua magari.Huko ndipo alipopata bahati ya kukutana na mtoto wa kiharabu ambaye naye alimpata katika hoteli ambayo alikuwa akifikia. Inasemekana msichana huyo alikuwa nimzuri sana kitu ambacho kilimfanya baba yangu atumie gharama kubwa kumpata.
Kwa kuwa binti huyo alikuwa akifanya kazi kwenye hotel hiyo aliyokuwa akifikia hivyo ilikuwa ni rahisi kumwingiza laini. Basi hicho ndo chanzo cha mimi kuzaliwa. Baba yetu alituambia kuwa baada ya mahusiano yao ya mda mrefu na mtoto huyo wa kiarabu huku wakizunguka nchi nyingi na kula raha, baadaye binti huyo aliacha kazi na kuja Tanzania.Baba anasema walipata wakati mgumu sana kwani familia ya binti huyo mrembo alikataa katu katu mwanao kuolewa Afrika na mtu mweusi tena mkristo.
Hivyo basi kutokana na upendo wao wa dhati binti huyo alikubali kutengwa na familia yao na kuja Tanzania na kuja kuishi na baba yangu. Nazani sasa umeanza kupata picha halisi ya uzuri wangu. Huu unene sijui niliupata wapi lakini nahisi ni kwa upande wa baba yangu ambao na wao nasikia walikuwa ni wazuri sana.Hapondipo historia ya maisha yangu inapoanzia.
Nimekulia kwenye familia ya kitajiri hali ambayo ilinifanye nisizijue shida mpaka nilipofkisha umri wa kubalehe. Nakumbuka niliwahi sana kubalehe au kuvunja ungo na kipindi hicho nilikuwa standard six(darasa la sita) huko international school mjini Moshi.Basi waswahili husema hujafa hujaumbika na kaka yangu kama nilivyowaeleza alipelekwa nje ya nchi ambapo baada ya miaka mitatu alirudi nchini akiwa katika hali hiyo ya uteja na ushoga.
Kaka yangu huyu alikuwa ni wa mama mwingine ambaye baba alizaa nae kabla ya kukutana na mama yangu.Najua unasubiri kwa hamau na jamu kujua nini kilitokea katika maisha yangu mpaka mimi kuharibikiwa na kuwa malaya, kahaba maarufu ndani na nje ya nchi.Sio mbaya nikaanzia hapa, ilikuwa ni siku ya jumapili asubuhi mimi mimi nikiwa likizo nimelala kwenye chumba changu, kipindi hicho najielewa kabisa kwani tayari nilikuwa nilikuwa na umri wa miaka 13 na tayari nilishaanza kusoma sekondari.
Siku hiyo ulitokea ugomvi mkubwa sana baina ya mama yangu na baba yangu.Chanzo kikiwa ni mama ambaye alikuwa akimshinikiza baba waame Tanzania na kwenda kuishi Dubai kwenye moja ya jengo lao la kifahari ambalo walikuwa wamelinunua. Baba alikuwa akikataa kwa madai kuwa asingeweza kuhama Arusha kwani biashara zake zingeyumba sana. Ugomvi ulikuwa ni mkubwa sana kitu ambacho kilimpelekea mama yangu kuondoka Tanzania na kurudi kwao Dubai.Kiukweli mpaka leo sina uhakika kuwa hiyo ndo ilikuwa sababu ya msingi ya wao kuachana au kulikuwa na kitu kingine nyuma ya pazia.
Tangia siku hiyo sikuwahi kumwona tena mama yangu mpaka leo hii ninapoamua kusimulia historia ya maisha yangu.Tuliendelea kuishi na baba yetu na cha ajabu baba hakutaka kuoa mwanamke mwingine yeyote.Tuliishi vizuri sana na baba yetu ingawa kaka yangu tayari maisha yake yaliharibika na kuugua ukichaa kabisa.Sikushangaa sana kwani tunajua madhara ya madawa ya kulevya.
Lakini kuna kitu kimoja ambacho huwa nakikumbuka sana. Kitu hicho ni kilichosemwa na daktari mmoja wa KCMC ambaye ni bingwa wa saikolojia na magonjwa ya akili. Alitueleza kuwa kaka yangu alikuwa anaugua ugonjwa wa U-SOCIAL huu ni ugonjwa mbaya sana unaosababishwa na mapenzi.Inasemekana kuwa kaka yangu alipokuwa huko chuoni alitokea kumpenda dada mmoja ambaye ambaye alikuwa amemzidi mwaka mmoja wa masomo.
Inasemekana pia mapenzi yao yalipita kiasi mpaka wakawa kama ni mwili mmoja. Daktari huyo alitueleza kuwa U-SOCIAL ni ugonjwa hatari sana ambao unafanya watu wengi kuchanganyikiwa na kuwa vichaaa kabisa. Dakatri huyo alisema kuwa huo ni upendo mkubwa sana ambao mtu hawezi kuishi bila ya mwenzie na nakumbuka alitutolea mfano wa nyuki ambao wanakuwa tayari kutoa kizazi chao kwa ajili ya nyuki mmoja ambaye ni malikia.
Sijui kama nipo sahihi sana ila mtawauliza wataalam wa ecology. Basi inasemekana kaka yangu na huyo msichana walifikia hatua hiyo kwani kaka yangu alishawahi kumtolea mpaka figo kuokoa masiha yake. Binti huyo alikuwa anatokea Kampala nchini Uganda na kutokana na hali nzuri ya kiuchumi baiana ya familia zote mbili yaani ya kwao na kwetu penzi lao liliweza kushamiri sana.
Kwa kuwa binti huyo alimtangulia kaka yangu mwaka mmoja wa masomo basi alivyomaliza alirudi nchini kwao Uganda. Hapo ndipo kasheshe ilipoanzia kumbe binti yule alikuwa na mpenzi wake wa mda mrefu na ndiye alimpeleka South Afrika kwa ajili ya masomo. Hivo alipomaliza tu masomo aliolewa na kibaya zaidi siku ya harusi yake kaka yangu alipewa taarifa na mmoja wa marafiki wa karibu wa msichana huyo. Kaka yangu akafunga safari mpaka nchini Uganda kwenye mji mkuu wa nchi hiyo na alifikia Severa Hotel sehemu ambayo shughuli za harusi zilikuwa zikiendelea. Hakuamini macho yake lakini ukweli ndo ulibaki huo.
Inasemekana kaka yangu alifanya sana vurugu siku hiyo lakini hazikusaidia kitu kutokana na ulinzi mzuri ulio kuwepo kwenye ofisi hiyo. Basi kwa msaada wa marafiki zake walifanikiwa kumsaidia na kumrudisha nchini south Afrika.Lakini wiki chache baadaye alilazwa kwa kile kilichoitwa jaribio la kutakakujiua. Baadaye aliamua kuiingiza kwenye sakata la kutumia madawa ya kulevya. Kama hiyo haitoshi alianza kupoteza ufahamu wake juu ya maana ya maisha na kila siku ya mungu alikuwa akitafuta faraja yake iliyopotea bila mafanikio. Kwa ufupi hicho ndicho kilichomfanya kaka yangu kuwa shoga , teja na sasa chizi kabisa.
Imenilazimu kuelezea kwa kifupi huu ugonjwa wa U-SOCIAL ili niwape somo ndugu zangu hasa kwa wale wanaopenda kucheza na hisia za wenzao. Ndugu zangu wanaume nawashauri msiwemnapenda kupita kiasi na wasichana jamani tusikubali kuingia kwenye uhusianao na wanaume wengine ili hali wapo ambao tunawapenda kwa dhati. Hayo ni machacahe kwa upande wa kaka yangu sasa turudi upande wangu ambaye ndio tumaini la pekee lililobaki kwa upande wa baba yangu.
Sijisifii lakini kiukweli nilikuwa na uwezo mkubwa darasani kitu ambacho kilimfurahisha sana baba yangu na kuwa tayari kuniudumia kwa gharama yeyote ile. Basi niliendelea kuishi maisha mazuri yale ya kutojua shida, maisha ambayio kila mtu aliyatamani. Nilisoma mpaka nikafika form five hapo ndipo safari yangu ya maisha yalipoanza kuingia doa. Hapa nitasimulia kwa urefu zaidi kwani ndicho chanzo cha mimi kuharibikiwa. Nakumbuka kipindi hicho biashara ya baba zilianza kuyumba, migogoro ya kutokulipa kodi na serikali ilimmaliza.***ITAENDELEA
Ingawa nina mapungufu yangu ya kimaisha lakini kiukweli nimejaliwa uzuri ambao kwa namna moja au nyingine ndo chanzo cha kuharibikiwa na kisha kufanikiwa katika maisha yangu.Ni mweupe kiasi, mwenye umbo la kibantu na nyuma nimefungashia kama mlima kitonga. Nina sura ya mduara kama watoto wa kiharabu ambapo kwa haraka haraka ukikutana na mimi huwezi amini kuwa ni mtanzania tena wa Arusha.
Mungu kanijalia umbo,sura, mwendo, macho na kila kiungo unachojua wewe kinaweza mvutia mwanaume.Ni mnene lakini si ule wa kuboa ni ule wa mpangilio na kwa kweli sina matiti makubwa. Nina macho ya mlegezo ambapo kiukweli nikikuangalia mara mbili ni lazima tu utanitamani. Kasoro yangu kubwa au kilema mungu alichonipa ni kile kilema pendwa yaani kuwa na vijishimo mashavuni mwangu ambapo kila nikicheka vinaonekana.
Leah jina langu la utotoni kwa sasa lishapotea kutokana na matukio yangu. Club za Arusha na sehemu zingine za starehe jijini pale wananijua kama BAMBUCHA. Na jina hili nilipewa siku niliyoshinda taji la miss nyonga. Moshi nilipewa jina la Heinken wowow au Heinken Mutungi baada ya kushinda shindano la bonge kipotabo .Mpaka sasa sijui idadi ya wanaume ambao nishawahi kulala nao ila hawapungui elfu 1. Ndio usishangae kwani kwenye dftari langu la kumbukumbu mwaka jana idadi ya wanaume nilotembea nao walikuwa 892. Sasa ndani ya huu mwaka watakuwa wamezidi elfu lazima. Sipendi na inaniuma sana ila nataka watu wajifunze kutokana na historia hii
Naamini mtanifuatili hadi mwisho ili iwe fundisho kwa wasichana wazuri kama mimi na kwa wanaume wote wanaodanganyika kiurahisi na wasichana warembo. Sitoeleza kila kitu kuhusu maisha yangu lakini nitaeleza vile ninavyovikumbuka na pia ni funzo na fundisho kwa wengine.Nimezaliwa miaka 27 iliyopita huko mkoani Arusha, familia yetu ni moja au miongoni mwa familia tajiri. Kwetu tupo tu wawili mmoja wa kiume na mwingine ndo mimi. Kwa hiyo tupo mimi na kaka yangu tu ambaye na yeye masikini ya mungu maisha yake yaliingia doa hata sijui ni kwa nini familia yetu imekuwa na majanga hivi.
Kwa ufupi japo sitaki kueleza historia yake ila kwa sasa ni shoga na teja. Baba yetu alitupenda sana na alihakikisha tunapata elimu nzuri na bora. Mimi na kaka yangu wote tulisoma International school ya hapo Moshi. Baadaye kaka yangu alianza kuvuta bangi kitu ambacho kilimtia hofu baba yangu na kuamua kumpeleka kusoma nje ya nchi. Alikosea sana kwani alimpeleka south Afrika katika chuo kimoja maarufu cha mambo ya utalii. Huko aliendelaa na tabia yake ya miadarati na mbaya zaidi alianza kuumia madwa ya kulevya hivyo akawa teja kabisa. Akaenda mbali kabisa na kuwa shoga kabisa, sitaki kukueleza zaidi ya hapo kwani lengo la simulizi hii ni kukupa historia ya maisha yangu. Kama nilivyosema mwanzo familia yetu ni tajiri sana kwani baba yangu alikuwa ni mfanyabiashara maarufu wa madini tena yale ya Tanzanite.
Historia ya baba yangu nayo ni ngumu san kwani inasemekana chanzo cha yeye kupata utajiri ni ajali ya wazungu iliyotokea huko Mererani hivyo yeye na wenzake waliiba madini mengi sana. Lakini kabla ya hapo alikuwa ni chokoraa asiye na mbele wala nyuma. Kama nilivyosema sitaki kukupa historia ya watu wengine lakini inanibidi ili uweze kujua aina ya familia ninayotoea. Baba yangu alituambia kuwa yeye alikuwa ni mtoto yatima ambaye baba na mama yake walikufa kwenye ajali mbaya iliyotokea huko Kateshi/mbulu.
Hicho ndicho kikawa chanzo cha yeye kuwa chokoraa. Baadaye alikuja Arusha kutafuta maisha ambapo walipelekwa Mererani kam manyoka. Huko aliteseka sana mpaka alipokuwa kijana anayejitambua. Baadaye ndo akapata bahati ya mtende ya kuiba madini. Tangia hapo akaanza biashara ya kuuza madini na mungu alimjalia sana na baadaye alikuwa anaenda Dubai kuchukua magari.Huko ndipo alipopata bahati ya kukutana na mtoto wa kiharabu ambaye naye alimpata katika hoteli ambayo alikuwa akifikia. Inasemekana msichana huyo alikuwa nimzuri sana kitu ambacho kilimfanya baba yangu atumie gharama kubwa kumpata.
Kwa kuwa binti huyo alikuwa akifanya kazi kwenye hotel hiyo aliyokuwa akifikia hivyo ilikuwa ni rahisi kumwingiza laini. Basi hicho ndo chanzo cha mimi kuzaliwa. Baba yetu alituambia kuwa baada ya mahusiano yao ya mda mrefu na mtoto huyo wa kiarabu huku wakizunguka nchi nyingi na kula raha, baadaye binti huyo aliacha kazi na kuja Tanzania.Baba anasema walipata wakati mgumu sana kwani familia ya binti huyo mrembo alikataa katu katu mwanao kuolewa Afrika na mtu mweusi tena mkristo.
Hivyo basi kutokana na upendo wao wa dhati binti huyo alikubali kutengwa na familia yao na kuja Tanzania na kuja kuishi na baba yangu. Nazani sasa umeanza kupata picha halisi ya uzuri wangu. Huu unene sijui niliupata wapi lakini nahisi ni kwa upande wa baba yangu ambao na wao nasikia walikuwa ni wazuri sana.Hapondipo historia ya maisha yangu inapoanzia.
Nimekulia kwenye familia ya kitajiri hali ambayo ilinifanye nisizijue shida mpaka nilipofkisha umri wa kubalehe. Nakumbuka niliwahi sana kubalehe au kuvunja ungo na kipindi hicho nilikuwa standard six(darasa la sita) huko international school mjini Moshi.Basi waswahili husema hujafa hujaumbika na kaka yangu kama nilivyowaeleza alipelekwa nje ya nchi ambapo baada ya miaka mitatu alirudi nchini akiwa katika hali hiyo ya uteja na ushoga.
Kaka yangu huyu alikuwa ni wa mama mwingine ambaye baba alizaa nae kabla ya kukutana na mama yangu.Najua unasubiri kwa hamau na jamu kujua nini kilitokea katika maisha yangu mpaka mimi kuharibikiwa na kuwa malaya, kahaba maarufu ndani na nje ya nchi.Sio mbaya nikaanzia hapa, ilikuwa ni siku ya jumapili asubuhi mimi mimi nikiwa likizo nimelala kwenye chumba changu, kipindi hicho najielewa kabisa kwani tayari nilikuwa nilikuwa na umri wa miaka 13 na tayari nilishaanza kusoma sekondari.
Siku hiyo ulitokea ugomvi mkubwa sana baina ya mama yangu na baba yangu.Chanzo kikiwa ni mama ambaye alikuwa akimshinikiza baba waame Tanzania na kwenda kuishi Dubai kwenye moja ya jengo lao la kifahari ambalo walikuwa wamelinunua. Baba alikuwa akikataa kwa madai kuwa asingeweza kuhama Arusha kwani biashara zake zingeyumba sana. Ugomvi ulikuwa ni mkubwa sana kitu ambacho kilimpelekea mama yangu kuondoka Tanzania na kurudi kwao Dubai.Kiukweli mpaka leo sina uhakika kuwa hiyo ndo ilikuwa sababu ya msingi ya wao kuachana au kulikuwa na kitu kingine nyuma ya pazia.
Tangia siku hiyo sikuwahi kumwona tena mama yangu mpaka leo hii ninapoamua kusimulia historia ya maisha yangu.Tuliendelea kuishi na baba yetu na cha ajabu baba hakutaka kuoa mwanamke mwingine yeyote.Tuliishi vizuri sana na baba yetu ingawa kaka yangu tayari maisha yake yaliharibika na kuugua ukichaa kabisa.Sikushangaa sana kwani tunajua madhara ya madawa ya kulevya.
Lakini kuna kitu kimoja ambacho huwa nakikumbuka sana. Kitu hicho ni kilichosemwa na daktari mmoja wa KCMC ambaye ni bingwa wa saikolojia na magonjwa ya akili. Alitueleza kuwa kaka yangu alikuwa anaugua ugonjwa wa U-SOCIAL huu ni ugonjwa mbaya sana unaosababishwa na mapenzi.Inasemekana kuwa kaka yangu alipokuwa huko chuoni alitokea kumpenda dada mmoja ambaye ambaye alikuwa amemzidi mwaka mmoja wa masomo.
Inasemekana pia mapenzi yao yalipita kiasi mpaka wakawa kama ni mwili mmoja. Daktari huyo alitueleza kuwa U-SOCIAL ni ugonjwa hatari sana ambao unafanya watu wengi kuchanganyikiwa na kuwa vichaaa kabisa. Dakatri huyo alisema kuwa huo ni upendo mkubwa sana ambao mtu hawezi kuishi bila ya mwenzie na nakumbuka alitutolea mfano wa nyuki ambao wanakuwa tayari kutoa kizazi chao kwa ajili ya nyuki mmoja ambaye ni malikia.
Sijui kama nipo sahihi sana ila mtawauliza wataalam wa ecology. Basi inasemekana kaka yangu na huyo msichana walifikia hatua hiyo kwani kaka yangu alishawahi kumtolea mpaka figo kuokoa masiha yake. Binti huyo alikuwa anatokea Kampala nchini Uganda na kutokana na hali nzuri ya kiuchumi baiana ya familia zote mbili yaani ya kwao na kwetu penzi lao liliweza kushamiri sana.
Kwa kuwa binti huyo alimtangulia kaka yangu mwaka mmoja wa masomo basi alivyomaliza alirudi nchini kwao Uganda. Hapo ndipo kasheshe ilipoanzia kumbe binti yule alikuwa na mpenzi wake wa mda mrefu na ndiye alimpeleka South Afrika kwa ajili ya masomo. Hivo alipomaliza tu masomo aliolewa na kibaya zaidi siku ya harusi yake kaka yangu alipewa taarifa na mmoja wa marafiki wa karibu wa msichana huyo. Kaka yangu akafunga safari mpaka nchini Uganda kwenye mji mkuu wa nchi hiyo na alifikia Severa Hotel sehemu ambayo shughuli za harusi zilikuwa zikiendelea. Hakuamini macho yake lakini ukweli ndo ulibaki huo.
Inasemekana kaka yangu alifanya sana vurugu siku hiyo lakini hazikusaidia kitu kutokana na ulinzi mzuri ulio kuwepo kwenye ofisi hiyo. Basi kwa msaada wa marafiki zake walifanikiwa kumsaidia na kumrudisha nchini south Afrika.Lakini wiki chache baadaye alilazwa kwa kile kilichoitwa jaribio la kutakakujiua. Baadaye aliamua kuiingiza kwenye sakata la kutumia madawa ya kulevya. Kama hiyo haitoshi alianza kupoteza ufahamu wake juu ya maana ya maisha na kila siku ya mungu alikuwa akitafuta faraja yake iliyopotea bila mafanikio. Kwa ufupi hicho ndicho kilichomfanya kaka yangu kuwa shoga , teja na sasa chizi kabisa.
Imenilazimu kuelezea kwa kifupi huu ugonjwa wa U-SOCIAL ili niwape somo ndugu zangu hasa kwa wale wanaopenda kucheza na hisia za wenzao. Ndugu zangu wanaume nawashauri msiwemnapenda kupita kiasi na wasichana jamani tusikubali kuingia kwenye uhusianao na wanaume wengine ili hali wapo ambao tunawapenda kwa dhati. Hayo ni machacahe kwa upande wa kaka yangu sasa turudi upande wangu ambaye ndio tumaini la pekee lililobaki kwa upande wa baba yangu.
Sijisifii lakini kiukweli nilikuwa na uwezo mkubwa darasani kitu ambacho kilimfurahisha sana baba yangu na kuwa tayari kuniudumia kwa gharama yeyote ile. Basi niliendelea kuishi maisha mazuri yale ya kutojua shida, maisha ambayio kila mtu aliyatamani. Nilisoma mpaka nikafika form five hapo ndipo safari yangu ya maisha yalipoanza kuingia doa. Hapa nitasimulia kwa urefu zaidi kwani ndicho chanzo cha mimi kuharibikiwa. Nakumbuka kipindi hicho biashara ya baba zilianza kuyumba, migogoro ya kutokulipa kodi na serikali ilimmaliza.***ITAENDELEA
dada huyu atoka nduki na kuacha watu hoi
G9t FB yake

unazani ni kitu gani anastaiki kupata msimu huu wa krismasi ukiwa kama mwanaume wa shoka je ungempatia zawadi gani kwa msim huuu
Wednesday, December 14, 2016
Friday, December 9, 2016
We have listened to wonderful testimonies from those who came to The SCOAN unable to leave their vehicles because of their inability to walk. Led by the Spirit of God, Prophet T.B. Joshua went to where
We have listened to wonderful testimonies from those who came to The SCOAN unable to leave their vehicles because of their inability to walk. Led by the Spirit of God, Prophet T.B. Joshua went to where they were, prayed for them in the name of Jesus Christ and dry bones were raised!
After receiving their healing, Prophet T.B. Joshua and the Emmanuel TV Partners blessed each of them with two bags of rice and 20,000 naira cash.
Stay tuned to Emmanuel TV for more live action from the prayer line as Prophet T.B. Joshua continues to pray for the people, in Jesus’ name.
Wednesday, December 7, 2016
http://safinamiutamu.blogspot.com/
http://Cashni.com/?refcode=11194
http://safinamiutamu.blogspot.com/http://safinamiutamu.blogspot.com/

Because of u am afraid
friend-add
Watu Unaoweza Kuwajua
NAOMBENI MNISAIDIE HAWA WACHEZAJI WANATOKEA WAPI?
Khadija ZuberiBenjamin Msae na wengine 12 wanampenda DStv
Did you know DStv Self Service will make your life easier? Watch these tips for info

Steven Charless
anahisi Inakosekana pamoja na Classic Da Minah na wengine 13 huko Tegeta, kwa ndevu.
nakusubili halafu unazingua kama isiwe kasi yako yangu ok maana hakuna ku******************** ya jua
good evenin all guys
good evenin all guys
Piga soga na marafiki
WAASILIANI ZAIDI (38)
Allen Hassan
Almas Mbaga
Asha Ally
Baronn Millah
Coletha Emanuel
Dedria White Henderson
Ebere Gideon Nnadi
Faith Charles
Fauzia Juma
Flora Abaati
Flora Valerian
Godson Abbas
Goodluck Franctz
Happy Sarafina
Harder Process
Janja WA Dar Dar
Khadija Ngwema
Kibwax De Tyga
King Daru
King Josy Lee
Lizzy Beiby
Loquratious Eminam
Malena Ally
Mariam Maganga
Marry Jonas
Monix Ben
Mudy Bey
Ndai Katuni Sungura
Ny'Rae Ashanti
Oliver Lukundo
Othman Bazaz
Shebi Van Mayara
Shishaa Voice
Stella Leonard
Umar Ibrahim
Vumi V Vane
Zopoa Zopoa
Zulfa Anord
Subscribe to:
Comments (Atom)
-
UFUSKA...@@PICHA 6 ZA MREMBO AKILAMBA MKUNDU WA MWENZAKE BILA AIBU MBELE ZA WATU ..ANGALIA HAPA... peruztz.blogspot.c...
-
Chombezo: MPANGAJI Sehemu: 14 Mtunzi: Frank Masai Simu: 0717 738973 ILIPOISHIA... “Huyu ni mgeni,ni mdogo wake George,katoka Dar. Kafika ha...
































































