Sunday, December 6, 2015

Vigogo wanane akiwemo mtuhumiwa namba moja aliyekuwa kamishina mkuu wa forodha wa mamlaka ya mapato Tanzania TRA Tiagi Masamaki wamefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka mawili ya kula njama ya kudanganya na la kuisababishia hasara serikali ya shilingi bilioni 12.7.

No comments:

Post a Comment

PESA YAIMBA WIMBO