#Habari:Uongozi wa wilaya ya kinondoni umesitisha shughuli za uzalishaji katika kiwanda cha urafiki baada ya viongozi wa kiwanda hicho kushindwa kuwalipa madai yao kama walivyokubaliana awali kuwa hadi Desemba 1 wangekuwa wameshalipwa.
0:10/1:10
No comments:
Post a Comment