Wednesday, December 2, 2015

Chama cha mapinduzi mkoa wa Geita kimemuomba rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Dr.John Pombe Magufuli awawajibishe watendaji wa serikali wanaoshindwa kutekeleza ilani ya chama hicho wanaotuhumiwa kuhusika na vitendo vya rushwa katika utendaji kazi nakuchochea migogoro kati ya wakulima na wawekezaji.

Chama cha mapinduzi mkoa wa Geita kimemuomba rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Dr.John Pombe Magufuli awawajibishe watendaji wa serikali wanaoshindwa kutekeleza ilani ya chama hicho wanaotuhumiwa kuhusika na vitendo vya rushwa katika utendaji kazi nakuchochea migogoro kati ya wakulima na wawekezaji.

No comments:

Post a Comment

PESA YAIMBA WIMBO