MATUKIO YA AFRIKA
Rais wa Tanzania awaonya wafanyakazi wazembe
Rais wa Tanzania, Jhttp://safinamiutamu.blogspot.com/ohn Magufuli, ametoa hotuba yake ya kwanza bungeni Dodoma na kuelezea mipango yake ya uongozi. Wakati huo huo upinzani unataka upatikane ufumbuzi wa mchakato wa uchaguzi Zanzibar.
No comments:
Post a Comment