Wednesday, November 4, 2015

Leo Rais Kikwete amefanya mazungumzo Ikulu Jijini Dar na Makamu wa kwanza wa Rais na Mgombea Urais(CUF) Maalim Seif
-Zanzibar kuna mkwamo wa kisiasa baada ya Tume ya Uchaguzi(ZEC) kufuta uchaguzi uliokwishafanyika na matokeo kuanza kutangazwa

No comments:

Post a Comment

PESA YAIMBA WIMBO