Wednesday, December 3, 2014

SEHEM YA KWANZA niliinuwa mikono juu na kumshukuru mungu kwakunifikisha salama maana wengi tunaamini mungu yupo juu ya mbingu kisha nikatembea hatuwa chache nikageuka nikaiangaria ile ndege nikaangaria anga ambayo muda sio mlefu nilikuwa angani nikatingisha kichwa wakati wote sikuwa na fraha nikaenda shehem ya ukaguz kisha nikatoka ad zilikoegeshwa tax nikakodi tax nakuondoka ktk uwanja wa kimataifa mwa mwalim jk nyelele tulikumbana na foleni pale tazala ubungo na mwenge hatimae nilifikiswa nyumbani kwangu masaki nikashuka na begilangu nikiwa nimechoka akili na mwili nikajitupa ktk kibalaza na kuegemea nguzo nilizama ktk mawazo na maswali yasiyo na majibu nikasikia sauti nafsiyangu inanituma nikusaidie lakini nitakusaidiaje wakati cjui tatizolako lax nikamuangalia tafadhari naomba kujuwa tatizo baada yakunishawishi sana nikajikuta naongea hivi nilijitahidi sana ndani ya nchi yangu tanzania mikowa yote navitongoji vyake sikufanikiwa kumpata jee ni nani? (usikose

No comments:

Post a Comment

PESA YAIMBA WIMBO