Wednesday, December 9, 2015

‪#‎USAFI‬:Vijana wa Jeshi la kujenga Taifa (JKT) wameungana na watanzania wengine kufanya usafi katika eneo la Hospitali ya Mkoa wa Arusha Mount Meru ikiwa ni agizo la rais wa Tanzania awamu ya Tano Dk.John Pombe Magufuli lakuwataka watanzania kufanya usafi Siku hii ya Sherehe za Uhuru Disemba 9 na kuifanya kuwa siku ya usafi ili kuepukana na Magonjwa ya mlipuko.

No comments:

Post a Comment

PESA YAIMBA WIMBO