Tuesday, February 10, 2015

Taasisi ya kuzuia na kupamba na rushwa

Taasisi ya kuzuia na kupamba na rushwa -Takukuru imembadilishia hati ya mashtaka ya mkurugenzi wa huduma za sheria wa wizara ya ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi, Rugonzibwa Mujunangoma aliyekuwa akikabiliwa na shtaka la kupokea rushwa ya sh 323 milioni toka kwa James Rugemalira na kuondolewa maneno kuwa fedha hizo ni sehemu ya akaunti ya Tegeta Escrow.

No comments:

Post a Comment

PESA YAIMBA WIMBO