Monday, February 9, 2015

amefariki dunia

Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi... huyu ndie mama mashaka wa kaole sanaa group.. tuko msibani tunajiandaa kwenda Mzinga kuzika... pia alishawahi kufanya tangazo la foma la mtaa nzasa...
Like ·  · 

No comments:

Post a Comment

PESA YAIMBA WIMBO