leo tarehe tatu tamabaza actios marts general brocker imefanya sherehe ya kuufunga mwaka na wafanyakazi wake maeneo ya sinza shekilango kwenye clabu kubwa sun ciro jiji dare es salaam akiongea na mwandishi weu mkurugenzi wa kampuni amekuwa na furaha sana kutokana na vijana wake kufanya kazi kwa bidii na kujituma na anawashukuru sana
CHANGAMOTO
changamoto zinazowakabili vijana kwenye kazi ni pamoja na askari polisi kuwapa ugumu wa kazi wa kukamata pikipiki kutokana na kutokutoa ushirikiano changamo nyingne ni askari pirisi kugeuka kuwa bodaboda unapomkamata anakutolea kitambulisho cha kazini kwake yaani ad ya porice na unakuta hana kibali cha pikipiki yake kuweza kuingia mjini na wakati mwingine anapakia abilia na kuigeuza pikipiki yake bodaboda kwa hiyo hizo ni changamoto chache wanazokabiliana vijana wa tambaza actions marts
No comments:
Post a Comment