Sunday, January 25, 2015

hahahahaha simbaaaa mmetoka suruu na azamu duuuuuuu

Leo ndio leo uwanja wa taifa wakati wekundu wa Msimbazi Simba watakapowakaribisha mabingwa watetezi Azam FC katika mchezo wa ligi kuu.
Nini utabiri wako?

No comments:

Post a Comment

PESA YAIMBA WIMBO