Utafiti mpya uliotolewa nchini Marekani, umebainisha kuwa watu
wanaopenda kulala bila nguo wanapata faida nyingi ikiwamo ya kuwa na
uwezekano mdogo wa kupata ugonjwa wa kisukari.
Ripoti hiyo ya
utafiti iliyotolewa na Taasisi ya Kitaifa ya Usingizi (NSF), inaeleza
umuhimu wa watu kulala bila nguo kuwa ni kuimarisha uhusiano kwenye ndoa
na kupunguza kalori nyingi.
..

No comments:
Post a Comment