kijana mmoja wa kitanzania kwa jina tunamuifadhi aliyekuwa mfanyakazi wa tanesco na mmliki wa kundi la tazama arts group sasa ageuka kituko kwa wasanii wake baada ya kuongopa kila waulizapo kuhusu maendeleo ya kundi mjadala huo uliodumu kwa muda wa masaa saba na kukosa ufafanuzi uliowafanya wasanii wote kuamua kuachana na mkurugenzi huyo na kuangukia kwa meneja wao aitwaye yenga yenga tulipofanya mahojiano kuusu nini kinaendelea kati ya meneja wasanii na mkugenzi tuliambulia vumbi kwa maana kila mmoja hakuwa tayari kutoa yamoyo kwa hiyo basi usikose toleo la kesho ili kujua nini kiliendelea hapo
ni bint aliyefumaniwa na bwana ake gest wiki hii


No comments:
Post a Comment